Contact us:

 

AVIC Consultants

Plot 60 Block 45, Kajenge Street, Kijitonyama,

P O Box 11924,

Dar es Salaam,

Tanzania

Phones

 

+ 255 752 447 689

 

Email Address

 

ajmwambola@tanbusiness.co.tz

COMMUNITY YA TAN BUSINESS CHANNEL

Sasa hivi Tan Business Channel  ina idadi ya subscribers zaidi ya 20,000. Hii ni habari njema kwetu sisi ambao tuna husika kwenye kutoa habari kupitia videos na Online Television

 

Idadi kubwa ya subscribers wana umri kati ya miaka 18 na 35 wanaume ni 55% na wanawake ni 45%

 

Kutokana na messages ambazo ninapata kila siku nimegundua kuwa wengi wa subsribers wengi wanapenda kupata majibu ya changamoto mbali mbali wanazoppata za ujasiriamali

 

Hali niliyo eleza hapo juu imenipa msukumo wa kutaka kutoa mchango wangu wa elemu ya ujasirimali kupitia hili kundi la subsribers

 

Kuanzia sasa nitakuwa natoa maelezo mbali mbali kuhusu ujasirimali kwenye hii Community na niko tayari kujibu maswali ambayo nitaulizwa na Community hii ya Tan Business

 

Nakaribisha maoni ya jinsi tunavyoweza kuwasiliana kutatua changamoto mbali mbali za ujasiriamali

Karibuni kwenye Community ya Tan Business Channel

Wasiliana name kupitia  ajmwambola@tanbusiness.co.tz au WhatsApp 255 716 682 439

TAFSIRI YA NENO MJASIRIAMALI

Kuna tafsiri nyingi za neno ujasiriamali na mimi naamini kuwa nyingi ya hizo ziko sawa kutokana na mtazamo wa mhusika

 

Tafsiri ambayo mimi naipenda ni kama ifuatavyo:

 

ENTREPRENEUR IS DEFINED AS SOMEONE WHO HAS THE ABILITY AND DESIRE TO ESTABLISH, ADMINISTER AND SUCCEED IN A STARTUP VENTURE ALONG WITH RISK ENTITLED TO IT, TO MAKE PROFITS

 

Mjasiriamali ni mtu mwenye uwezo na nia ya kuanzisha, kufuatilia na kufanikiwa katika uanzishaji wa biashara mpya, kwa madhumuni ya kupata faida. Ingawa  zipo changamoto za kutofanikiwa kibiashara

Kwa hiyo ujasiriamali ni uwezo na kuwa tayari kwa mjasiriamali kuanzisha biashara, kuiendeleza na kupata mafanikio. Mafanikio yanapimwa kwa kuangalia faida iliyopatikana kwenye biashara

 

SAFARI YA KWENDA KWENYE UJASIRIAMALI

 

Nawaomba wadau tuwe na subira kama tunataka kufanikiwa.

 

Hakuna njia ya mkato ya mafanikio

Njia za kufuata mjasirimali ni zile zile kwa wote haijalishi kama unataka kuanzisha biashara kubwa au ndogo

 

Tutapima mafanikio kwa kuangalia biashara bora ngapi zimeanzishwa na kama hizo biashara ni endelevu (zenye faida)

 

Kama unavyoona hayo mambo yote huwezi kuyafahamu mara moja.

Usikose kuangalia kipindi cha Dira ya Ujasiriamali siku za Jumatatu-Jumamosi 9.00-10.00 PM

 

https://youtube.com/alimwambola

 

Pata elimu ya ujasiriamali kupitia Tan Business Online School

 

https://ali-mwambola-s-school.teachable.com/p/home

Pata kitabu cha ujasiriamali kupitia Draft 2 Digital

 

www.draft2digital.com

TAN BUSINESS CHANNEL ONLINE TV

TAN BUSINESS BOOK PUBLISHING

TAN BUSINESS ONLINE SCHOOL

Tan Business Channel